KUFUATIA kuchapishwa kwenye safu hii kwa makala niliyoandika kuhusu ubora wa Yanga kwenye uwakilishi wa mashindano ya vilabu barani Afrika mwakani dhidi ubovu wa Prisons na Simba kwenye uwakilis
BAADA ya kuwa kambini nje ya Dar es Salaam kwa zaidi ya mwezi, mabingwa wa Tanzania Bara, Simba walitarajiwa kurejea jijini humo jana Jumanne tayari kwa mechi yao ya Alhamisi dhidi ya waliowahi kuwa mabingwa wa Kenya, Sofapaka, Uwanja wa Taifa
KUNDI la Friends of Simba la klabu ya soka ya Wekundu wa Msimbazi, linatarajiwa kukutana leo Jumatano jioni kujadili mustakabali wa klabu kwa ujumla na kutoa msimamo wake mbele ya wanachama na wapenzi wa klabu hiyo
NILIVUTIWA sana na kichwa cha habari cha gazeti la Sunday News la Jumapili ya Septemba 6,1981 cha habari ya ushindi wa goli 1-0 la kichwa la Juma Mkambi wa Yanga dhidi ya Simba kufuatia kona ya
TIMU ya soka ya Simba ya Dar es Salaam, inaondoka nchini leo saa kumi jioni kwenda Oman kwa mafungu kutokana na baadhi ya wachezaji wake kutumikia majukumu mengine wakati huu
KABLA ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya soka nchini, gazeti moja la kila siku lilionyesha picha ya gari kukuu lililokuwa likimwagia maji uwanja wa Jamhuri wa mjini Morogoro ka
MABINGWA wa Soka Tanzania Bara msimu huu, Yanga wameonekana kurudia matapishi yao baada ya kujitapa kwa kipindi kirefu kuwa hawatoweka kambi katika maandalizi ya mpambano na mpinzani wao mkuu, Simba, kwenye mechi ya kufunga msimu Mei 18, mwaka huu
WIKI iliyopita niliahidi kuchambua namna klabu kubwa nchini zinavyotumika kujenga majina ya watu kwa ‘taji’ la mfadhili lakini kwa maslahi kiduchu, nitafanya hivyo leo.
WAINGEREZA wana msemo: the law is an ass, wanaoutumia hasa pale sheria moja inapoweza kutumiwa kuamua masuala mawili tofauti kabisa kwa kutegemea tu uwezo wa hakimu ama wakili wa kunyumbulisha sher
KULAZIMIKA kumchukulia hatua rais wa nchi ni mkasa na balaa kwa nchi yoyote ile. Ndiyo maana tunatakiwa kuwateua na kuwachagua marais wetu kwa uangalifu mkubwa, na ndiyo maana wakisha kuchaguliwa wanatakiwa kujiheshimu na kuwa waangalifu sana
Nyerere na rais hovyo
Maoni ya Wasomaji
KWA NINI WAIALAMU HAWASIKILIZWI, MAONI YAO HAYAJAPEWA NAFASI KWENYE RASIMU YA KATIBA. TUNATAKA MAPUNZIKO IJUMAA, MAHAKAMA YA KADHI NA NCHI KUJIUNGA NA OIC