Richmond

Baraza la Mawaziri la Kikwete lagawanyika

Godfrey Dilunga

BAADA ya Kamati inayoongozwa na Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kuzungumza na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi na kuibuka malumbano, kejeli na matusi kwenye mkutano huo, imebainika kuwa sasa mpasuko

Lowassa apambana

Waandishi Wetu
Edward Lowassa
UPEPO wa hali ya kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) unazidi kuvuma, na sasa Edward Lowassa na Andrew Chenge, wamebanwa na wanapambana

Vigogo wa Richmond wamhujumu Kikwete

Mwandishi Wetu

HUKU mambo yakiwa si shwari ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, wiki hii Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, ametoboa siri kwamba tangu Rais Jakaya Kikw

Bosi wa Richmond aburuzwa kortini

Mwandishi Wetu

MKURUGENZI wa Kampuni ya Richmond Development ya Tanzania, iliyowahi kupewa zabuni ya kuagiza mitambo ya kufua umeme wa dharura nchini, Naeem Adam Gire, jana alifikishwa mahakamani  akikabiliwa n

Sakata la Richmond kulipuka upya

Mwandishi Wetu

BAADHI ya wabunge, wanasiasa na wataalamu wa sheria wanautazama uamuzi wa kumburuza mahakamani Mkurugenzi wa Kampuni ya Richmond, Naeem Gire, kwa tahadhari kubwa wakiamini kuwa kuna malengo yali

Richmond yaibukia Uganda

Mwandishi Wetu

SAKATA ya kampuni hewa ya kufua umeme wa dharura, Richmond Development LLC, ya Marekani, limevuka mipaka na kujadiliwa nchini Uganda katika mkutano wa wataalamu wa hali ya hewa, ambao wanasema 

Ufisadi ukishangaa la Richmond la IPTL je?

Joseph Mihangwa

Katika sehemu kwanza ya makala yetu katika gazeti hili toleo namba 16 la Februari 27-5 Machi 2008, tulieleza jinsi mkataba mbovu wa miaka 20 wa kuuziana umeme kati ya Shirika la Umeme Tanzania (T

CCM mnasemaje kuhusu Lowassa?

Msomaji Raia

WIKI iliyopita nilihoji ikiwa Edward Lowassa anadai ni msafi dhidi ya tuhuma zote ambazo amekuwa anarundikiwa, ni nani basi atakuwa msafi ndani ya CCM?

Kashfa hizi zifike ukomo

John Bwire

KATIKA ukurasa wa kwanza wa gazeti hili tuna  habari kuhusu mradi mkubwa wa Vitambulisho vya Taifa uliomo mbioni kuanza baada ya mazungumzo yake kuanza katika miaka ya katikati ya 1970.

Ya Richmond na EPA yataibua mengi

Privatus Karugendo

TANGU kashfa za Richmond na EPA ziibuke kumetokea mambo kadhaa ambayo yameleta mijadala ya aina nyingi hasa kwa wahusika wakuu wa madudu hayo.

Pages

Subscribe to Richmond