UTOAJI wa Tuzo za maarufu na muhimu za Nobeli kwa watu mashuhuri na wenye mafanikio ya kipekee katika maendeleo na amani ya dunia umeanza kutiliwa shaka
WIKI iliyopita katika sehemu ya kwanza ya mfululizo wa makala hizi, nilieleza katika hali ya kudadisi zaidi ni kwa nini viongozi wengi hawakuwa tayari kumkosoa Mwalimu Julius Nyerere hadharani na
MWEZI huu, Aprili 12, Kigoda cha Mwalimu Nyerere, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kitafungua rasmi tamasha la tatu la kitaaluma ambalo litafungwa Aprili 15.
MBUTA Mirando au Sifasi Lucas Mirando (78), ni Katibu Mwenezi wa kwanza wa Tanganyika African National Union (TANU) chama kilichoongoza harakati kudai Uhuru wa Tanganyika
KWA kawaida ndoto hutafsiriwa kwa maana nyingi kulingana na hisia, imani na msimamo wa mtu anayewasilisha ama kupokea ujumbe husika, lakini kwa hili naandika nikiamini kwamba kuna ujumbe mzito ndani yake
TAIFA la Tanzania jana Jumanne liliadhimisha miaka tisa ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki Oktoba 14 kwenye Hospitali ya St Thomas’s, London Uingereza.
KATIKA dunia ya Ubepari, walio wengi huchapa kazi, lakini matajiri wachache ambao hawachapi kazi hata kidogo ndiyo wanaofaidi. Wachache hao watakaa na kufaidi vinono kwenye karamu wakati walio wengi watakaa pembeni wakisubiri makombo
Nyerere na kufuru ya mabepari
Maoni ya Wasomaji
Jamani kama ni kutoa maoni basi toeni kwa kiswahili. Kiingereza gani alichotumia kutoa maoni huyo hapo juu!!! Huo ni ujuha. Kuhusu matokeo, nadhani serikali imelenga kufurahisha wapiga kura.