Bara letu la Afrika lina utajiri mkubwa wa asili. Ni jukumu la vyuo vikuu kutoa mafunzo ambayo yatawasaidia wanafunzi kutatua matatizo mbalimbali yanayolikabili bara hili. Mafunzo na utafiti unaofanywa na vijana wetu wa vyuo vikuu ni lazima ulingane na mazingira ya Afrika