WAPO wanaosema nimezeeka. Mimi nawaambia kuwa uzee siyo sifa na wala ujana siyo sifa. Hivi Januari (mwanaye) unaweza kumpa kazi ya Katibu Mkuu? Kinachoangaliwa hapa ni uwezo na si mengine. Wengine wanasema sina uzoefu, lakini unapata wapi uzoefu? Kitu cha msingi ni uwezo, na mimi uwezo ninao