Gamba
MWENDELEZO wa kuwavua madaraka baadhi ya viongozi kwa vigezo vya tuhuma zinazotokana na ukosefu wa uadilifu unaingia serikali na tayari Rais Jakaya Kikwete, amebainisha kuwa hataki tena viongozi
JANUARI 4, mwaka huu, Mwandishi Wetu, JOHN DANIEL, alifanya mahojiano na Mkuu wa Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Dk.
Itakumbukwa kwamba, Februari 5, mwaka huu, kwenye sherehe za miaka 34 ya CCM mjini Dodoma, Mwenyekiti wake ambaye pia ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, alieleza men
MIAKA mitatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa kwanza mara baada ya kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini mwaka 1995, nikiwa na fikra nzito juu ya hali itakayokikabili Chama cha Mapinduz
VIGOGO wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaotakiwa wajiuzulu kwa tuhuma za ufisadi wamekutana na uongozi wa juu wa chama chao, na taarifa zinasema bado mvutano haujaisha kati ya pande mbili hizo.
SIKU 90 tisini zilizolengwa na uongozi wa Chama cha Mapinduzi kuwa zingetumika kufanya maamuzi magumu ya kujivua gamba au kulazimishana kujivua gamba, zimekwisha.
TULIJUA tangu mwanzo kwamba uamuzi wa vikao vya juu vya Chama cha Mapinduzi [CCM] juu ya chama hicho kutaka kujivua gamba [la maovu ya kijamii, kisiasa na kiuchumi], zilikuwa mbio za sakafuni.
UAMUZI wa Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Arusha, James ole Millya, kuondoka CCM na kujiunga na CHADEMA ndilo gumzo la wiki hii.
NI vigumu kuamini kwamba rais wa nchi anaweza kuhusika na mchezo mchafu kama huu wa kuwabagua wananchi wake kwa misingi ya dini zao, lakini matukio ya hivi karibuni yanathibitisha hilo.
CHAMA cha Mapinduzi kinakabiliwa na shinikizo kubwa la mabadiliko ya uongozi, taarifa zikibainisha kuwa msukumo huo unatoka miongoni mwa wana-CCM na hata nje na hasa upepo mbaya wa kisiasa unaov
Pages
Wasome zaidi Waandishi wa Raia Mwema