KAMA wakulima wetu watabakia kuwa wajinga, wahafidhina na masikini, basi, majumba yote makubwa yanayojengwa mijini, mabarabara makubwa nk hayana maana yoyote. Itakuwa sawa na mvuvi anayeficha chini ya tenga samaki waliooza lakini juu anaweka samaki wazuri