Wagombea wanaoshindana kwa karibu Arumeru mashariki, Joshua Nassari wa CHADEMA na Siyoi Sumari wa CCM, kila mmoja ushindi wake unategemea vigezo tofauti
USHINDI wa CHADEMA katika kinyang'anyiro cha ubunge Arumeru Mashariki wa Jumapili iliyopita kwa kiasi kikubwa msingi wake ni makosa ya kimkakati ya CCM
KAMPENI za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki, kwa ajili ya kumpata mbunge mpya wa jimbo hilo zinaendelea lakini hata hivyo, tayari baadhi ya kauli za viongozi zinasikitisha na si za kushabikiwa
Lengo letu si kumteketeza adui kwa gharama yoyote ile, bali ni kumfanya atmabue kuwamba ni kinyume cha sheria kuchukua silaha na kutaka eti kuing’oa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia.
Dos Santos na waasi
Maoni ya Wasomaji
Hii serikali kweli haina huruma na haidhamini wananchi wake. inaelekea GPSA imetekwa na mafisadi papa ambao wanataka kuwanyima fursa wafanya biashara wenye mitaji midogo kujiendeleza.