2010

Dk.Slaa aandaa Mawaziri

Mwandishi Wetu

WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kikitamba kunyakua zaidi ya majimbo 47 Tanzania Bara, mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.

Helikopta kampeni ya Kikwete yagonga mti

Mwandishi Wetu

WAKATI kukiwa na utata kuhusu zilikotoka helikopta zinazotumika katika kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, moja kati ya helikopta hizo imepata

Waliobwagwa CCM sasa watoboa siri

Waandishi Wetu

MCHEZO mchafu katika kusaka ushindi wa kura za maoni nafasi ya ubunge katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na matumizi makubwa ya fedha kwa washindani ni kati ya malalamiko ya wagombea vigogo waliobwag

Wanamtandao wampa Dk. Slaa ushindi 76%

Mwandishi Wetu

WAKATI kampuni ya kibiashara inayojihusisha na tafiti ya Synovate Limited ikikanusha taarifa za kubaini kwamba mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk.

Mbivu na mbichi kuwa Jumapili

Mwandishi Wetu

SIKU chache kabla ya kupiga kura Jumapili ijayo, wagombea watatu wa urais wanaochuana, Jakaya Kikwete wa CCM, Dk.

Jino kwa jino CUF, CCM na CHADEMA

Mwandishi Wetu

WAKATI vumbi la kampeni likiendelea kutimka, Chama  Cha Wananchi (CUF) kimelalamikia mwenendo wa kampeni wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), malalam

Slaa amuweka pabaya Salma

Mwandishi Wetu

MWENYEKITI wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana amekiri kuwa Mke wa Rais, Salma Kikwete, hutumia ndege za Serikali wakati wa kumfanyia kampeni mume wake, Rais Jakaya Kikw

CCM yapitisha aliyetajwa kuuza viungo vya Albino

Mwandishi Wetu

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) iliyokutana Dodoma kuchuja na kupitisha majina ya wagombea wake wa ubunge, imepitisha jina la mgombea ubunge aliyewahi kupigiwa kura na wanakijij

Pages

Subscribe to 2010