TATIZO la kwanza dhidi ya amani ya nchi kwa sasa limetajwa kuwa ni uongozi dhaifu, ambao umekuwa ukisababisha kusuasua katika usimamizi wa haki wa sheria za nchi
KWA kawaida, nchi hujengwa na wananchi wenyewe na hasa wenye kujua haki na wajibu wao, wenye juhudi na maarifa katika kusaka mafanikio kwa njia halali na kwa mustakabali bora wa taifa
KUWEPO kwa sheria inayompa mtu mmoja haki ya kumiliki ardhi kubwa ambayo watu wengine wanaishi au kuihitaji, ni jambo la hatari kwa sababu matokeo yake ni watu hao kuwa watumwa wa mmiliki wa ardhi hiyo
HG na utumwa wa ardhi
Maoni ya Wasomaji
Makala yako kwa kiasi kikubwa nakubaliana na wewe. Ila naona kama umekosea kuutaja ubalozi wa Vatican kama taasisi badala ya nchi.